342. Ndugu Yangu Nani?
1. Ndugu yangu nani?
Umbu ni yupi?
Ni kila wa Yesu,
ni ndugu yangu.
2. Kikundi kidogo
chamjua Mchunga,
kimshuhudiacho
Mwokozi wetu.
3. Ni wana wa Mungu
wanaobezwa,
ndio washindaji
wangoja taji.
4. Ndio ndugu zangu,
maumbu yangu.
Nawaita hivi,
ni ndugu zangu.