344. Watoto Wake Mungu

1. Watoto wake Mungu 

   imbeni safarini,

   Mwokozi tutamsifu, 

   aliye mtakatifu.


2. Sote tu safarini, 

   tunakwenda mbinguni,

   na tuone magumu, 

   jueni hayatakaa.


3. Watoto mwimbieni 

   inueni na macho!

   Waliovumilia

   wamekwisha ingia.


4. Ndugu tusiogope, 

   tutafika mbinguni, 

   Yesu akiwa nasi, 

   Shetani hatuwezi!


5. Bwana twakufuata, 

   ya chini twayaacha 

   U kiongozi wetu, 

   utatufikisha juu! 

Popular posts from this blog

420. Ni Salama Mikononi Mwake

398. Hapana Rafiki Kama Yesu

406. Mfurahini, Haleluya