346. Wajua Kuzihesabu Nyota
1. Wajua kuzihesabu
nyota zilizoko juu?
Wajua kuyahesabu
nayo mawingu yote?
Mungu aliyahesabu
lisimpotee hata moja;
avijua kwa majina
2. Wajua kuwahesabu
na ndege wa angani?
Wajua kuwahesabu
samaki wa majini?
viumbe vyake vyote.
Mungu huwapa kuwapo
huwaita kwa majina.
Kwa hiyo wanamchezea
na kumfurahia mno.
3. Wajua kuwahesabu
watoto waamkao
asubuhi vitandani,
wacheze mchana kutwa,
Mungu huwatunza wote
kwa huruma zake kuu;
wewe nawe akupenda,
ndiye mpenda watoto.