387. Anza Yote na Bwana

1. Anza yote na Bwana; 

   Umwamini kama mtoto 

   Anavyomwamini baba; 

   Nawe ufanye hivyo.  

        :/:Anza yote na  

          Bwana.:/:

 

2. Anza yote na Bwana; 

   Enyi wateule wake 

   Msipoteze lengo lake, 

   Nenda njia ya Bwana.  

         :/:Anza yote…


3. Anza yote na Bwana; 

   Uwe jasiri kwa Bwana,

   akupa msaada wake,

   Ufanye kazi yake  

        :/: Anza yote…

 

4. Anza yote na Bwana; 

   Atatuma roho wake  

   awe mfariji wako 

   Kwenye maisha yako 

         :/:Anza yote ....


Popular posts from this blog

420. Ni Salama Mikononi Mwake

398. Hapana Rafiki Kama Yesu

406. Mfurahini, Haleluya