394. Deni ya Dhambi Ilimalizikia
1. Deni yangu ya dhambi,
Yesu amelipa.
Kwake Msalabani
Nilipewa Uzima
Deni ya dhambi,
Msalabani
Ilimalizikia
Ni huru kabisa.
2. Bwana Yesu asema,
“Mwanangu dhaifu,
Uwezo na ushindi
Hupatikana kwangu.”
Deni ya dhambi,...
3. Bwana, kweli naona,
Nguvu zako pekee
Huondoa ukoma,
Niwe kipya kiumbe.
Deni ya dhambi,...
4. Sina wema moyoni,
Nidai neema,
Nakubali kabisa,
Kwa damu kusafiwa.
Deni ya dhambi,...
5. Hata huko Mbinguni,
Miguuni pake,
“Yesu alinifia,”
Nitaimba milele.
Deni ya dhambi,...