415. Nasikia Kuitwa

1.  Nasikia kuitwa na sauti yako 

    Nikasafiwe kwa damu

    Ya kwangikwa kwako. 

         Nimesongea Mtini pako, 

         unisafi kwa damu 

         ya kwangikwa kwako. 


2.  Ni mnyonge kweli, 

    umenipa nguvu,

    ulivyonisafi taka, ni utimilifu.

           Nimesongea Mtini...


3.  Yesu hunijuvya; mapenzi, 

    imani, tumaini na amani 

    hapa na mbinguni. 

         Nimesongea Mtini...


4.  Huipa imara, kazi yake, ndani: 

    huongezeka neema, 

    ashindwe Shetani.

           Nimesongea Mtini...


5.  Huishuhudia mioyo ya imani

    ya kuzipata ahadi, 

    wakimuamini. 

          Nimesongea Mtini...


6.  Napata wokovu, 

    wema na neema;

    kwako Bwana nina nguvu

    na haki daima. 

         Nimesongea Mtini...


Popular posts from this blog

420. Ni Salama Mikononi Mwake

398. Hapana Rafiki Kama Yesu

406. Mfurahini, Haleluya