432. Atukuzwe

 (Atukuzwe), atukuzwe 

  Mwokozi wetu, 

  (Atukuzwe), atukuzwe 

   mwokozi wetu,

 

1. Wote waliofungwa 

   awafungua,

   Wote wenye njaa

   awapa chakula. 

         (Atukuzwe)...


2. Wote waliao 

   awapa faraja,

   Wote waumwao 

   anawatuliza 

         (Atukuzwe)...


3. Wote wateswao 

   nguvu atawapa,

   Wote wapigwao 

   atawashindia. 

          (Atukuzwe)...


4. Wote wamwitao

   ataitikia,

   Wote waaminifu 

   taji atawapa.

Popular posts from this blog

420. Ni Salama Mikononi Mwake

398. Hapana Rafiki Kama Yesu

406. Mfurahini, Haleluya