438. Yesu Zamani Bethelehemu
1. Yesu zamani Bethilehemu
Aliyezaliwa kwa aibu,
Ndiye Mwokozi wa ulimwengu,
Akaja kwa mimi.
Akaja kwa mimi;
Akaja kwa mimi;
Ndiye Mwokozi wa ulimwengu,
Akaja kwa mimi.
2. Yesu akafa Msalabani,
Kuniponya akalipa deni,
Ni la ajabu la jinsi gani
Kunifia mimi!
Kunifia mimi! Kunifia mimi!
Ni la ajabu ya jinsi gani
kunifia mimi!
3. Ni Yeye huyo tangu asili:
Na nilipotangatanga mbali
alikuja kwa upole, kweli
Kuniita mimi!
Kuniita mimi!
Alikuja kwa upole,
kweli kuniita mimi!
4. Yesu Kristo atarudi tena,
hilo lanifurahisha sana,
Yeye Bwana akionekana
Kunijia mimi.
Kunijia mimi, kunijia mimi.
Yeye Bwana akionekana
Kunijia mimi.