440. Zaeni Matunda Mema

1. Zaeni matunda mema;

   Zaeni matunda yale, 

   Zaeni yenye Baraka; 

   Zaeni ya heri. 

         Bwana akiyapokea  

         Yatabarikiwa sana.

         Zaeni matunda mema, 

         Zaeni ya Heri.


2. Safisha matendo yako 

   Safishwa mwenendo 

   wako.

   Safishwa na Bwana Yesu.

   Safishweni nyote.

          Bwana akiyapokea… 


3. Fanyeni kazi kwa moyo

   Fanyeni kwa kupatana 

   Fanyeni na Bwana Yesu.

   Fanyeni kiroho. 

           Bwana akiyapokea…

Popular posts from this blog

420. Ni Salama Mikononi Mwake

398. Hapana Rafiki Kama Yesu

406. Mfurahini, Haleluya